Mapenzi

Mapenzi ni mazuri sana ukimpata anayekupenda ,japokuwa Kuna changamoto kubwa sana kwa sisi binadamu kwani tunatumia muda mwingi kuumiza mioyo yetu kuwapenda wasio tupenda na kulazimisha wawe wanatupenda.badala ya kutumia nguvu zetu kuelekeza kwawanaotupenda.pia ukitumia moyo kupenda badala ya akili mapenzi yatakuumiza sana na utajutakupenda.

Enjoyed this article? Stay informed by joining our newsletter!

Comments

You must be logged in to post a comment.

About Author