Faida za kukaa kimya

*ZIFUATAZO NI FAIDA ZA KUKAA KIMYA.*

-Kuongeza uwezo wa kufikiri na kutoa mawazo yenye mafanikio.

-Kuwa mtu mwenye mafanikio zaidiĀ 

- Kupendwa na watu na kuepuka malumbano.

- Kutatua matatizo kwa haraka na usahihi.

- Kuwa na akiba ya kila kitu katika maisha yako.

-Husaidia kudumisha sifa nzuri katika jamii.

- Kuwa msingi imara katika maisha ya kumtumikia Mungu.

- Husaidia Kuwa mvumilivu na mkarimu

- Kupenda kusikiliza na kuwasikiliza watu kuliko Kuwa mwongeaji.

- Kuwa na ubunifu au kukuza kiwango cha ubunifu wako.

- -Kusimamia malengo yako.

- Kuimarisha ubongo na kupunguza tatizo la mahonjwa ya akili kama vile kupoteza kumbukumbu.

- Ni tiba sahihi katika mahusiano na ndoa.

Enjoyed this article? Stay informed by joining our newsletter!

Comments
Axweso Massay - Jan 26, 2022, 9:54 PM - Add Reply

Good

You must be logged in to post a comment.
Axweso Massay - Jan 26, 2022, 9:56 PM - Add Reply

How can we grow?

You must be logged in to post a comment.
Axweso Massay - Jan 26, 2022, 9:57 PM - Add Reply

Kweli kabisa

You must be logged in to post a comment.
Axweso Massay - Jan 26, 2022, 9:57 PM - Add Reply

Man your write

You must be logged in to post a comment.
Axweso Massay - Jan 26, 2022, 9:59 PM - Add Reply

Any did advantages

You must be logged in to post a comment.

You must be logged in to post a comment.

About Author