2.kwa njia ya kutumia nguo au kitambaa au chochote unachovaa wakati upo breed au katika siku zako . Njisi ya kutumia inatakiwa ile damu au nguo uliyovaa ndani ikishachafuka basi unaikunja vizuri na kuiweka kwenye kopo ambalo haliangazi Kisha unaweka kitambaa hicho ndani na kufunika vizuri baada ya hapo unaenda kuhifadhi sehemu unayoona ni salama kwako Hadi utakapofungua kuchungulia endapo umeamua kupata mimba ndio ufanye Ivo .Msisitizo hutakiwi kuweka sehemu ambayo mtu anaweza akabeba au ukasahau ukifanya hivo ujue imekula kwako huji zaa Tena.
Good
Welldone
Nice job
You must be logged in to post a comment.